Sat, 20 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Senegal imeifunga Cameroon mabao 3-1, katika mchezo wa Kundi C Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon), uliomalizika muda mfupi uliopita nchini Ivory Coast.
Timu ya Taifa ya Senegal imeifunga Cameroon mabao 3-1, katika mchezo wa Kundi C Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon), uliomalizika muda mfupi uliopita nchini Ivory Coast. Mchezo huo ulikuwa na upinzani mkali lakini hata hivyo Sadio Mane na vijana wake walionesha kwamba wao ni bora zaidi na kufanikiwa kuibuka na ushindi huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live