Mon, 6 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kufuatia ushindi wa penalti 5-4 dhidi ya wenyeji Algeria kwenye michuano ya Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN2022, SENEGAL sasa imekuwa Taifa la kwanza kutwaa makombe matatu ya CAF.
Kombe la Mataifa Afrika AFCON2022.
Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN2022.
Kombe la Mataifa Afrika kwa Soka la Ufukweni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live