Nyota wa Bayern Munich Sadio Mane amefunga magoli mawili na kuisaidia Senegal kupata ushinda wa mabao 4-2 dhidi ya Brazil katika mchezo wa Kimataifa wa kirafiki uliopigwa usiku wa kuamkia leo katika dimba la Jose Alvalade, Lisbon Ureno.
Nyota wa Bayern Munich Sadio Mane amefunga magoli mawili na kuisaidia Senegal kupata ushinda wa mabao 4-2 dhidi ya Brazil katika mchezo wa Kimataifa wa kirafiki uliopigwa usiku wa kuamkia leo katika dimba la Jose Alvalade, Lisbon Ureno. Baada ya ushindi huo, Senegal imeweka rekodi ya kuwa Taifa la tatu la Afrika baada ya Cameroon na Morocco kuwahi kuifunga Brazil.