Thu, 29 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa katí, anayeweza kucheza pembeni pia, Mzanzibari Abdallah Kheri ‘Sebo’ ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Azam FC hadi mwaka 2026.
Beki wa katí, anayeweza kucheza pembeni pia, Mzanzibari Abdallah Kheri ‘Sebo’ ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Azam FC hadi mwaka 2026. Azam kwa sasa wapo katika mpango wa kujenga kikosi chao na jambo kubwa ni kuhakikisha wanawalinda nyota wao kwa kuhakikisha wanawaongezea Mikataba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live