Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Scout wa Manchester United alihudhuria Derby ya pale Ureno kati ya Benfica na Sporting CP kutazama kipaji cha dogo Jõao Neves aliyezaliwa 2004 anayecheza nafasi ya kiungo wa kati,
Scout wa Manchester United alihudhuria Derby ya pale Ureno kati ya Benfica na Sporting CP kutazama kipaji cha dogo Jõao Neves aliyezaliwa 2004 anayecheza nafasi ya kiungo wa kati, Wataalamu hao ambao watatuma ripoti yao kwa John Murtoh huku pia wakisubiria mabadiliko ya bodi ya klabu hiyo kwaajili ya maendeleo na mipango ya baadae ya Manchester United ili dili hilo lifanyike.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live