Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Scholes awapa makavu Man United

Paul Scholes Slams Paul Scholes

Mon, 4 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Gwiji wa Manchester United, Paul Scholes amewashambulia Mashetani Wekundu kufuatia kipigo ilichokipata cha mabao 3-1 kutoka kwa Manchester City Jumapili.

Baada ya mchezo huo Scholes amekaririwa akisema Man United haina wachezaji wenye uwezo wa kuifunga Man City kwa sasa.

Akizungumza na Premier League Productions, Scholes alisema:

“Pengine ni matokeo sahihi....Kwa muda huu Man City iko kwenye viwango vya juu.....Man United hawana wachezaji kwa sasa ambao wana uwezo wa kuifunga."

Chanzo: www.tanzaniaweb.live