Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Manchester United Paul Scholes amemsifu Jude akisema kwa umri wake, yeye ndiye mchezaji bora kwa sasa na hata waliotangulia
Kiungo wa zamani wa Manchester United Paul Scholes amemsifu Jude akisema kwa umri wake, yeye ndiye mchezaji bora kwa sasa na hata waliotangulia “Nadhani Jude Bellingham kwa umri wake na kile anachofanya hadi sasa katika kazi yake ,ni bora kuliko kitu chochote ambacho tumewahi kuona."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live