Thu, 24 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Schalke 04 inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundasliga)imethibitisha kuondoa nembo ya mdhamini wao GAZPROM, kwenye jezi za timu hiyo kutokana na uvamizi uliofanywa Ukraine.
Klabu ya Schalke 04 inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundasliga)imethibitisha kuondoa nembo ya mdhamini wao GAZPROM, kwenye jezi za timu hiyo kutokana na uvamizi uliofanywa Ukraine. Nembo hiyo ambayo ni ya kampuni ya nishati ya Urusi itabadilishwa na neno "Schalke 04." mbele ya jezi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: