Sun, 10 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Michael Sarpong raia wa Ghana, amejiunga na Shekhukhune ya Afrika Kusini kwa mkataba wa mkataba miwili.
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Michael Sarpong raia wa Ghana, amejiunga na Shekhukhune ya Afrika Kusini kwa mkataba wa mkataba miwili. Kabla ya kusaini ndani ya klabu hiyo, Sarpong alifanya majaribio kwa muda usiopungua wiki tatu ndipo akapewa mkataba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live