Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yote tisa, Kumi huwezi kuwazuia Simba kutengeneza nafasi kwa sasa. Wawe vyovyote vile, Mechi 27 mfululizo za ligi kuu wamefunga.
Hii inatokana na uwezo binafsi na akili kubwa ya mpira ya wachezaji wao. Kiufundi wachezaji wa timu zote walikuwa vizuri hasa kwenye kuulinda mpira na ndio maana timu zikishambuliana lazima kitimu muchimbe kujihami lakini Simba wakija langoni kwako Always wana nafasi, Always!
Kwa Timu zinazoruhusu mabao kwa Simba sio kama wanafanya uzeme ni namna ambavyo imekuwa na matumizi mazuri ya kutengeneza nafasi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live