Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Dortmund, Jadon Sancho, juzi alifanya dribo 12 dhidi ya PSG, akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufanya hivyo mara nyingi zaidi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya nusu fainali baada ya Lionel Messi (16) ambaye aliwanyanyasa Manchester United Aprili 2008.
Winga wa Dortmund, Jadon Sancho, juzi alifanya dribo 12 dhidi ya PSG, akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufanya hivyo mara nyingi zaidi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya nusu fainali baada ya Lionel Messi (16) ambaye aliwanyanyasa Manchester United Aprili 2008.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live