Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa Diario SPORT Klabu ya Manchester United wanataka kubadilishana Jadon Sancho na Raphinha katika kipindi cha usajili wa dirisha dogo.
Sancho amewekwa nje ya kikosi cha Man United kwa muda mrefu baada ya kutokea sintofahamu kati yake na Kocha Erik Ten Hag na kugoma kuomba radhi
Hapa Mnasemaje wapenzi wa Man United, ni Big Yes/Big No?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live