Thu, 7 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
ESPN imeripoti kutengwa kwa winga wa Manchester United Jadon Sancho taarifa ikisema kutengwa kwa nyota huyo kumekuja baada ya ile kauli lakini pia baadhi ya wachezaji wa Man Utd hawafurahishwi na tabia za Jadon Sancho kikosini.
Zipo taarifa za winga huyo kuhitaji kurudi Dortmund hata kwa mkopo ni ni baada ya kuona hana nafasi kwenye kikosi cha Ten Hag .
Sancho na Kocha haziivi ,Greenwood kwa mkopo Getafe ,Antony kazingua na yeye .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live