Sat, 28 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Man United Jadon Sancho amepigwa marufuku kutumia kantini ya kikosi cha kwanza cha Manchester United na badala yake chakula chake analetewa kutoka nje ya Carington !
Mshambuliaji wa Man United Jadon Sancho amepigwa marufuku kutumia kantini ya kikosi cha kwanza cha Manchester United na badala yake chakula chake analetewa kutoka nje ya Carington ! Hii ni baada ya mchezaji huyo kuendeleza msimamo wake wa kugoma kuomba msamaha kwa kocha Ten Hag
Chanzo: www.tanzaniaweb.live