Baada ya mchezo mzuri ulionyesha Jadon Sancho kwenye nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Borussia Dortmund dhidi ya PSG maswali mengi kwenda kwa Sancho yalihoji juu ya hatma yake msimu ujao kama atasalia Dortmund au atarejea Manchester United.
Baada ya mchezo mzuri ulionyesha Jadon Sancho kwenye nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Borussia Dortmund dhidi ya PSG maswali mengi kwenda kwa Sancho yalihoji juu ya hatma yake msimu ujao kama atasalia Dortmund au atarejea Manchester United. “Kwa kweli sijui, kwasasa naangazia zaidi Dortmund nilikuja hapa nikiwa na miaka 17 kwahivyo klabu hii imenisaidia tangu siku ya kwanza, siku zote najitolea kwa uwezo wangu wote kwa ajili ya klabu na mashabiki.