Winga wa Manchester United Jadon Sancho amekuwa mchezaji wa kwanza anaemilikiwa na klabu ya Manchester United kutinga fainali ya michuano ya UEFA Champions League tangu mwaka 2011 ambapo klabu hiyo ilifika fainali ya mashindano hayo licha ya kupoteza dhidi ya FC Barcelona.
Winga wa Manchester United Jadon Sancho amekuwa mchezaji wa kwanza anaemilikiwa na klabu ya Manchester United kutinga fainali ya michuano ya UEFA Champions League tangu mwaka 2011 ambapo klabu hiyo ilifika fainali ya mashindano hayo licha ya kupoteza dhidi ya FC Barcelona. Nje ya Sancho hakuna Mchezaji yoyote wa klabu hiyo ambae hata nusu fainali ya mashindano hayo alishawahi fika tangu kizazi Cha 2011 kilipopita.