Wed, 27 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kinachoendelea kati ya Jadon Sancho na Manchester United kwasasa kimefikia pabaya sana, ameamua ku"deactivate" ukurasa wake wa Instagram na hakuna picha inaonekana kwenye ukurasa wake.
Kinachoendelea kati ya Jadon Sancho na Manchester United kwasasa kimefikia pabaya sana, ameamua ku"deactivate" ukurasa wake wa Instagram na hakuna picha inaonekana kwenye ukurasa wake. Kinachotakiwa kwasasa ni Jadon akubali kuomba msamaha arudi kwenye kikosi au aondoke January.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live