Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya San Marino imeomba mchezo wa kirafiki na klabu ya Manchester United baada ya United kupokea kichapo cha goli 4-0 kutoka kwa Crystal Palace.
"Hello, chezeni na sisi tafadhali."
Kupitia ukurasa rasmi wa timu hiyo ya Taifa wameandika.
Ikumbukwe timu ya Taifa ya San Marino imeshinda mchezo mmoja pekee ndani ya miaka 20.
Hawa San Marino wameona nini kwa Manchester United
Chanzo: www.tanzaniaweb.live