Tue, 6 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon, Samuel Eto'o amemshambulia 'mwandishi wa habari' nje ya Uwanja wa 974 nchini Qatar.
Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon, Samuel Eto'o amemshambulia 'mwandishi wa habari' nje ya Uwanja wa 974 nchini Qatar. Inasemekana kuwa 'mwandishi' huyo alimtuhumu Eto'o kuwa alimlipa rushwa mwamuzi wa mchezo kati ya Cameroon na Brazil, mchezo ambao Cameroon walishinda goli 1-0.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live