Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Samatta aweka rekodi KRC Genk

Samatta Krc 200 Samatta aweka rekodi KRC Genk

Tue, 25 Oct 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta amefikisha mechi 200 akiwa na jezi ya klabu ya KRC Genk ya Ubeligiji, katika mechi hizo amefunga mabao 77 na kutoa asisti 21.

Samatta alijiunga na Genk kwa mara ya kwanza January 29, 2016 akitokea TP Mazembe ya Congo ambapo alitumikia klabu hiyo mpaka 2020 na kutimkia Aston Villa ya England.

Baadae September 20, 2020 alijiunga na Fenebahçe ya Uturuki, August 31, 2021 akajiunga na Royal Antwerp ya Ubeligiji na August 16, 2022 amerejea tena KRC Genk.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live