Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania,Mbwana Samatta hapo jana alishiriki mechi ya hisani iliyoandaliwa na Troost Ekong Foundation chini ya beki na Nahodha wa timu ya Taifa ya Nigeria, Troost Ekong
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania,Mbwana Samatta hapo jana alishiriki mechi ya hisani iliyoandaliwa na Troost Ekong Foundation chini ya beki na Nahodha wa timu ya Taifa ya Nigeria, Troost Ekong Kwenye mechi hiyo pia mastaa kama Joseph Yobo na Vincent Enyeama walishiriki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live