Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Samatta: Narudi kucheza Klabu moja ya Tanzania

Mbwana Samatta Ujumbe.jpeg Mbwana Samatta

Mon, 12 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania nahodha Mbwana Ally Samatta ameeleza uchu wake wa kurudi kucheza timu moja wapo ya Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.

Samatta anatamani kuja kumalizia soka lake nchini ili kujua namna soka la nchi hii linavyoendelea na mabadiliko yaliyopo kwani kuna mabadiliko makubwa tangu alipoondoka.

Mbwana Samatta kwa sasa anacheza katika klabu ya PAOK inayoshiriki Ligi Kuu ya Ugiriki.

Unadhani Mbwana Samatta atarudi kuitumikia klabu gani ?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live