Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa klabu ya Liverpool Graeme Souness amemtaja nyota wa sasa wa klabu hiyo Mohamed Salah kama mchezaji mbinafsi kuwahi kutokea.
"Nafikiri Salah ndiye mchezaji mbinafsi zaidi kuwahi kumshuhudia".
Graeme Souness
Graeme ameyasema hayo kuelekea mchezo mgumu wa klabu hiyo dhidi ya Tottenham Hotspurs unaotarajiwa kupigwa Jumapili hii saa kumi na mbili [18:30] jioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live