Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mohamed Salah amefunga au kutoa asisti kwenye mechi zake 13 za mwisho za Ligi Kuu England kwenye Uwanja wa Anfield.
Ni Alan Shearer pekee (alifikisha mechi 18) na Thierry Henry (mechi 17) kwenye mechi zao mfululizo za Ligi hiyo.
Salah alifunga mabao mawili kwenye ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Everton.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live