Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Liverpool, Mohamed Salah ndiye mchezaji wa kwanza katika historia ya klabu ya Liverpool kufunga mabao 20 na kuendekea katika mashindano yote kwenye misimu saba mfululizo.
Takwimu ya upachikaji mabao ya Salah akiwa Liverpool ni kama ifuatavyo;
17/18: Mabao 44
18/19: Mabao 27
19/20: Mabao 23
20/21: Mabao 31
21/22: Mabao 31
22/23: Mabao 30
23/24 Mabao 2o mpaka sasa huku msimu ukiwa bado unaendelea
Chanzo: www.tanzaniaweb.live