Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Salah afikisha mabao 200 EPL Liverpool wakiichapa Brentford

Mohammed Salah 2 Goals.jpeg Salah afikisha mabao 200 EPL Liverpool wakiichapa Brentford

Mon, 13 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Nyota wa Misri, Mohamed Salah amefunga mabao mawili kuisaidia Liverpool kuichapa Brentford 3-0.

katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield Jijini Liverpool. Salah alifunga mabao yake dakika za 39 na 62, kabla ya mshambuliaji wa Kimataifa wa Ureno, Diogo Jota kukamilisha la tatu dakika ya 74.

Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 27 na kusogea nafasi ya pili ikiizidi wastani wa mabao Arsenal na wote wapo nyuma ya Manchester City, wakati Brentford inabaki na pointi zake 16 za mechi 12 pia nafasi ya 10.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live