Mon, 12 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuibua sintofahamu usiku wa kuamkia leo Fiston alipoweka ujumbe kwenye ukurasa wake na kuumizwa na mambo ambayo hakuyaweka wazi
Baada ya kuibua sintofahamu usiku wa kuamkia leo Fiston alipoweka ujumbe kwenye ukurasa wake na kuumizwa na mambo ambayo hakuyaweka wazi Fiston Mayele ameonesha kuwa na mengi ya kuzungumza na kupitia insta story yake amesema baadae ataingia LIVE na kuongea kila kitu akisisitiza kuwa haogopi mtu bali anamuogopa Mungu tu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: