Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa klabu ya Arsenal Bukayo Saka taarifa zinadai ameondoka katika Kambi ya timu ya taifa ya Uingereza bila ya Taarifa yoyote ya kitabibu.
Winga wa klabu ya Arsenal Bukayo Saka taarifa zinadai ameondoka katika Kambi ya timu ya taifa ya Uingereza bila ya Taarifa yoyote ya kitabibu. Bado haijulikani ameondoka akiwa anaumwa, matatizo ya kifamilia ama laah, huku pande zote mbili zikiwa bado hazijatoa taarifa rasmi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live