Tue, 23 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Klabu ya Arsenal, Bukayo Saka amesaini Mkataba wa Miaka mitatu utakaomfanya kusalia Klabuni hapo Mpaka June 2027.
Mkataba wa awali wa Saka ulikuwa unamalizika June 2024.
Saka amekuwa na msimu bora mwaka huu ambapo walikaribia kutwaa taji la EPL kabla ya kunyakuliwa na Man City.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live