Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi Master Tindwa amempongeza Saido kwa kufunga magoli mawili hii leo lakini amesema form [kiwango] hiki anachoonesha sasa ni cha kuombea mkataba mpya baada ya kuona Klabu haijamuweka kwenye vipaumbele vyao kwa msimu ujao
“Hiki ni kiwango cha kuombea mkataba”
Mtazamo wako kwenye hili ni upi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live