Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkizab (37) ameachana rasmi na klabu ya Simba SC baada ya mkataba wake kufikia ukomo.
Klabu ya Coastal Union imeonesha nia ya kutaka saini ya mchezaji huyo mwenye profile kubwa zaidi ligi kuu Tanzania bara ili akaongeze uzoefu Kuelekea michuano ya CAF Confederations cup
Saido akiwa Simba ligi kuu :
◉ 1½ - Misimu
◉ 23 - Mabao ya kufunga
◉ 09 - Pasi za mabao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live