Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mané amenunua klabu ya Bourges Foot 18 inayoshiriki Ligi daraja la pili (2) Nchini Ufaransa (National 2).
Mchezaji huyo tayari ameingiza fedha ya kutosha ndani ya klabu hiyo kwa ajili ya kusajili Wachezaji wapya ambao wanaisaidia klabu hiyo.
Bourges Foot 18 inashika nafasi za mwisho katika kundi lake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live