Tue, 9 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa kiungo Sadio Kanoute hatakuwa sehemu ya kikosi chao kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25 baada ya mkataba wa nyota huyo raia wa Mali kutamatika.
Kanoute (27) alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 kutoka klabu ya Al Ahly Benghazi ya Libya.
"Kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25 hatutakuwa na Sadio Kanoute katika kikosi chetu," imeeleza taarifa ya Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live