Tue, 27 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Straika wa Mbeya City, Sixtus Sabilo yupo mbioni kujiunga na JKT Tanzania ambayo imepanda Ligi Kuu msimu huu.
Mabosi wa JKT wanaendelea kukisuka kikosi chake kwa ajili ya kuleta ushindani na sio kushiriki kwani haitaki kuona ikirudi tena Championship.
Mabosi wa JKT walikuwa wanasubiri tu Sabilo amalize mechi yake ya mwisho (Jumamosi iliyopita).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live