Tue, 21 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Tottenham Hospurs itafanya uamuzi kuhusu hatma ya baadaye ya kocha Antonio Conte kwa masaa 48 yajayo.
Hii ni baada ya Conte kuwakashifu wachezaji wake hadharani baada ya kutoka sare ya 3-3 na Southampton kwenye mechi ya Ligi.
Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza wanadaiwa hawakufurahishwa na matamshi ya Conte na sasa uongozi wa Spurs unafikiria kumpiga kalamu Muitaliano huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: