Wed, 9 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za Kipindi cha kwanza zimekamilika huku milango ikiwa bado ni migumu kwati ya Club Africain dhidi ya Yanga mchezo wa mkondo wa pili kuwania kufuzu kwa hatua ya Mkaundi Kombe la Shrikisho.
Dakika 45 za Kipindi cha kwanza zimekamilika huku milango ikiwa bado ni migumu kwati ya Club Africain dhidi ya Yanga mchezo wa mkondo wa pili kuwania kufuzu kwa hatua ya Mkaundi Kombe la Shrikisho. Kila Timu inajitahidi kucheza kwa tahdhari huku Yanga wakicheza kwa ubora wa hali ya juu na kuwafanya wenyeji kujihami zaidi, huku wakipiga shuti moja tu lililolenga goli.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live