Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa England wa U16 Frankie Runham ameamua kusaini mkataba mpya wa muda mrefu na kuweka mustakabali wake Chelsea.
Nyota wa England wa U16 Frankie Runham ameamua kusaini mkataba mpya wa muda mrefu na kuweka mustakabali wake Chelsea. Nyota huyo anatazamiwa kuimarika akiwa katika kikosi cha vijana cha Chelsea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live