Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rulani Kocha Bora COSAFA, Mastaa Mamelodi wazoa Tuzo

Rhulani Mokwena.png Kocha wa Mamelodi Sundowns Rulani Mokwena

Fri, 10 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Usiku wa jana zimefanyika hafla ya tuzo za umoja wa mashirikisho wa soka kusini mwa bara la Afrika (COSAFA) ambapo kocha wa Mamelodi Sundowns Rulani Mokwena alitwaa tuzo ya kocha bora wa mwaka huku Mastaa wa Mamelodi wakitwaa tuzo nyingi kuliko wengine.

Hawa hapa washindi wa tuzo hizo;

Mchezaji bora wa msimu - Percy Tau

Kocha bora wa msimu - Rulani Mokwena

Kipa bora wa msimu - Ronwens Williams

Mchezaji bora chipukizi - Thapelo Maseko

Mchezaji bora mwanamke - Andile Dlamini

Kocha bora mwanamke - Desire Ellis

Hao ni baadhi ya washindi wa vipengele vichache kati ya vingi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live