Mahakama ya rufani nchini Brazil imeitupilia mbali rufaa iliyokuwa imewasilishwa na Mawakili wa aliyekuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil Robson de Souza maarufu kwa jina Robinho (40) juu ya kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 9 gerezani,
Mahakama ya rufani nchini Brazil imeitupilia mbali rufaa iliyokuwa imewasilishwa na Mawakili wa aliyekuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil Robson de Souza maarufu kwa jina Robinho (40) juu ya kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 9 gerezani, Robinho ambaye ni Mzaliwa wa São Vicente, State of São Paulo Nchini Brazil Sasa ataendelea kusalia gerezani mpaka adhabu yake itakapomalizika kufuatia kukutwa na hatia ya unyayasaji wa kingono alioufanya kipindi anaichezea klabu ya AC Milan mwaka 2013.