Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rufaa ya Real Madrid kuhusu kupinga uamuzi wa RFEF kufuta kadi nyekundu aliyooneshwa kiungo Jude Bellingham kwenye mchezo dhidi ya Valencia imetupiliwa mbali katika mahakama ya CAS.
Rufaa ya Real Madrid kuhusu kupinga uamuzi wa RFEF kufuta kadi nyekundu aliyooneshwa kiungo Jude Bellingham kwenye mchezo dhidi ya Valencia imetupiliwa mbali katika mahakama ya CAS. Pia faini walizotozwa Madrid pamoja na mchezaji wao wanatakiwa wazilipe ndani ya muda uliopangwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live