Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Uingereza FA limetupilia mbali rufaa ya klabu ya Nottingham Forest juu ya kutaka adhabu ya kukatwa point 4 kwenye msimamo wa Ligi kuu Premier League iondolewe.
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Uingereza FA limetupilia mbali rufaa ya klabu ya Nottingham Forest juu ya kutaka adhabu ya kukatwa point 4 kwenye msimamo wa Ligi kuu Premier League iondolewe. Hukumu hiyo itaendelea kama ilivyo baada ya kamati ya rufaa kujiridhisha kuwa adhabu ya shirikisho hilo haijakiuka kanuni na taratibu za uendeshaji wa sheria za FFP.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live