Kwa mujibu wa katibu wa Shirikisho la soka nchini Tanzania Wilfred Kidao ameweka wazi kuwa rufaa ya kocha mkuu wa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania Adel Amrouche inatarajiwa kusikilizwa leo na kamati ya nidhamu ya CAF.
Kwa mujibu wa katibu wa Shirikisho la soka nchini Tanzania Wilfred Kidao ameweka wazi kuwa rufaa ya kocha mkuu wa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania Adel Amrouche inatarajiwa kusikilizwa leo na kamati ya nidhamu ya CAF. Amrouche alifungiwa na Shirikisho la soka Barani Afrika CAF kusimama kwenye benchi michezo nane [8] baada ya kulituhumu Shirikisho la soka nchini Morocco kuwa linashiriki kwenye upangaji wa waamuzi wa Michezo ya CAF