Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Roy Keane, ametoa orodha ya wachezaji ambao angependa wasalie Old Trafford msimu ujao.
Gwiji huyo wa zamani wa United amewataja;
Lisandro Martinez
Mason Mount
Casemiro
Kobbie Mainoo
Bruno Fernandes
Unakubaliana na orodha ya Keane? nani aingie na nani atoke?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live