Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa Manchester United Roy Keane ameipa nafasi ya kuchukua ubingwa wa EPL klabu ya Arsenal ambayo inaongoza Ligi hadi hivi sasa.
Nyota wa zamani wa Manchester United Roy Keane ameipa nafasi ya kuchukua ubingwa wa EPL klabu ya Arsenal ambayo inaongoza Ligi hadi hivi sasa. Roy amesema Arsenal ya msimu huu imebadilika pakubwa sana.Wamefanya maboresho ya sehemu zilizokuwa na mapungufu na pengine kilichotokea msimu uliopita hakitaweza kutokea msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live