Sat, 11 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa kutoka nchini Uingereza zinaarifu kuwa kocha wa zamani wa Birmingham City, Wayne Rooney atawasilisha ofa yake ya kutaka kuifundisha Manchester United.
Kikosi hicho chini ya kocha wa sasa Erik Ten Hag kimeshindwa kuwa na makali n kufanya kikose nafasi ya kushiriki Mashindano ya Uefa Champions League kwa msimu ujao.
Rooney ambae pia ni mchezaji wa zamani wa klabu hiyo anatamani zaidi kuifundisha klabu hiyo ili atimize ndoto zake za kuichezea pamoja na kuifundisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live