Thu, 30 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Gwiji la Uingereza na nyota wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amesema ana ndoto ya siku moja kuja kuifundisha Man United pamoja na Everton.
Gwiji la Uingereza na nyota wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amesema ana ndoto ya siku moja kuja kuifundisha Man United pamoja na Everton. “Ndoto zangu zipo wazi. Kila siku nimekuwa nikisema, ningependa kuifundisha Everton na Manchester United.” amesema Wayne Rooney ambaye ameteuliwa kuifundisha Klabu ya Plymouth Argyle inayoshiriki Ligi ya Championship.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live