Thu, 2 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Mamelodi Sundowns, Ronwen Williams ameiokoa timu yake kwa kucheza mkwaju wa penati wa Al Ahly wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya African Football League uliopigwa usiku wa kuamkia leo nchini Misri.
Ronwen Williams sio mara ya kwanza kuokoa mchomo wa Penati katika uwanja wa Cairo International Stadium.
Februari 25, 2023 - Aliokoa Penati ya Mohamed Hany, lakini pia jana Novemba 1, 2023 - Ameokoa mchomo wa Ali Maaloul.
Ronwen Williams anapenda kucheza Cairo International Stadium.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live