Ronwen Williams ndiye Shujaa wa mchezo wa jana ni Mlinda mlango wa Klabu ya Mamelodi ambaye kwa kiasi kikubwa amesaidia timu yake kutinga hatua ya Fainali ya michuano ya African Football League.
Williams ametoa michomo yote ya hatari katika lango la Mamelodi Sundowns pia amefanikiwa kutoa mkwaju wa penati uliopigwa na Maaloul kwenye dakika ya 11 ya mchezo.
Ikumbukwe hii sio mara ya kwanza kwa Mlinda mlango huyo kutoa mkwaju wa penati hata kwenye mchezo wa Petro De Luanda dhidi ya Mamelodi Sundowns akifanikiwa kutoa penati, mechi ya Al Hilal Omdurman na Mamelodi pia aliokoa tuta kiukweli anastahili pongezi
Unampa alama ngapi mwamba kati ya 1/10?