Klabu ya Al Nassr hiyo jana wameshinda magoli matatu kwa moja dhidi ya Istiklol kwenye mchezo wa makundi ya michuano ya AFC Champions, mchezo uliopigwa katika dimba la KSU Football.
Ronaldo na Talisca ndio wafungaji pekee kwenye mchezo huo na kufanikisha Al Nassr kuvuna alama tatu muhimu kwenye mechi ya pili ya Makundi.
AL NASSR 3 - 1 ISTIKLOL
44' - ⚽ S. Sebai
66' - ⚽ C. Ronaldo
72' - ⚽ A. Talisca
77' - ⚽ A. Talisca
Cristiano Ronaldo anafanikiwa pia kuandika rekodi ya kufikisha magoli 855 kwenye karia yake ya soka Duniani.
KUNDI E AFC CHAMPIONS
Istiklol Dushanbe - 04 pts
Al Nassr - 03 pts
Al Duhail sc - 02
Persepoils - 01 pts