Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Cristiano Ronaldo amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Mwezi Septemba wa Ligi Kuu Saudi Arabia.
Katika Mwezi Septemba akiwa na Al Nassr rekodi zake ni kama ifuatavyo;
Mechi -4
Magoli -5
Assists- 3
Amehusika katika magoli 8
Unadhani Ronaldo amestahili Tuzo hiyo?, Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live